Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7كيلو بايت
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 27
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 56 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-01-21 06:35:56 0 5كيلو بايت
SPIRITUAL EDUCATION
NGURUMO SABA
Katika kufunguliwa kwa mihuri saba, kwenye kile kitabu cha ufunuo, tunaona kuwa muhuri wa saba...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:00:50 0 5كيلو بايت
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 40
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 21 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-01-21 09:21:25 0 6كيلو بايت
SPIRITUAL EDUCATION
KWA NINI VIJANA WENGI HAWAJAKA KWENYE NAFASI ZAO KI-MUNGU?
1 Yohana 2:14  Kila kundi katika kanisa, jamii na hata nchi Mungu amelipa nafasi na wajibu...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:30:49 0 9كيلو بايت
HOLY BIBLE
Jesus' Two Natures: God and Man
Jesus is the most important person who has ever lived since he is the savior, God in human...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:45:51 0 5كيلو بايت