Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7Кб
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Поиск
Категории
Больше
MASWALI & MAJIBU
Inaruhusiwa Kula Nyama Ya Nguruwe Kwa Mkristo Wa Kweli? Pia Je, Mkristo wa Kweli Anaruhusiwa Kunywa Pombe/kuvuta sigara?
JIBU LA 1: Kwa ufahamu hakuna tatizo lolote kula nyama ya nguruwe au chakula chochote ambacho mtu...
От GOSPEL PREACHER 2022-06-13 08:59:21 0 7Кб
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-01-22 17:56:24 0 5Кб
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:12:00 0 6Кб
Religion
EPUKA KUPELELEZA KILA KITU MUNGU ANACHOKUAHIDIA.
EPUKA KUPELELEZA KILA KITU MUNGU ANACHOKUAHIDIA. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe,...
От WINGU LA MASHAHIDI 2021-09-18 21:46:03 0 8Кб
NDOA KIBIBLIA
JE, UNAJUA HIYO NDOA UNAYOTAKA KUINGIA INAKUPELEKA WAPI?
Mtumishi, ninachohitaji sasa ni mume tu, umri unazidi kwenda na nimeomba ila sioni nikijibiwa,...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-19 08:00:54 0 6Кб