Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7Кб
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Поиск
Категории
Больше
HOLY BIBLE
BIBLIA NA SAYANSI
Siku hizi tunaishi katika enzi za sayansi, teknolojia na maendeleo makubwa ya kompyuta. Ni wakati...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:13:41 0 6Кб
SPIRITUAL EDUCATION
613 LAWS OF JEHOVAH GOD
KUSOMA KWA KISWAHILI, BONYEZA HAPA THE 613 MITZVOT  Contextual material for the...
От PROSPER HABONA 2023-04-17 06:10:30 0 10Кб
Injili Ya Yesu Kristo
Dhambi Ni Nini?
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana yeye ndiye atakaye waokoawatu na...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:03:14 0 7Кб
MAHUSIANO KIBIBLIA
ZINGATIA YAFUATAYO ILI KUANZISHA MAHUSIANO SAHIHI YANAYOFIKIA MALENGO
UTANGULIZIMahusiano sahihi ni mahusiano ya namna gani?Mahusiano sahihi ni mahusiano yale ambapo...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:04:31 0 8Кб
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:12:00 0 5Кб