Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7Кб
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Поиск
Категории
Больше
HOLY BIBLE
The Healings of Jesus Christ
Individuals Who Demonstrated Faith References of Individuals Who Received Their Healing by Faith...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 20:21:20 0 5Кб
Injili Ya Yesu Kristo
FURAHA YA MUNGU KWA WATENDAKAZI
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
От GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:28:01 0 6Кб
REVELATION
UFUNUO 21
Bwana YESU KRISTO atukuzwe, Karibu katika mafunzo ya kitabu cha Ufunuo, leo tukiwa katika ile...
От GOSPEL PREACHER 2021-10-30 12:58:19 0 7Кб
OTHERS
JEHANNAM NI NYUMBA YA MILELE YA WAISLAM
JEHANAMU IPO NA INASUBIRI WATENDA DHAMBI Huko motoni Jehanum kukoje? Mwanangu, kunatisha,...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:29:42 0 5Кб
Injili Ya Yesu Kristo
KUBOMOA MADHABAHU ZA SHETANI
Madhabahu ni nini? Ni daraja la kuunganisha katika ya ulimwengu wa roho wa Mungu au shetani. Kuna...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:26:43 0 8Кб