Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7KB
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Pesquisar
Categorias
Leia mais
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:06:08 0 6KB
STANDARD 1
STANDARD 1
List of all subjects for the standard 1 class
Por PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:18:32 0 6KB
Networking
Managing marketplace leakage – How to discourage people from going around your payment system
The most lucrative marketplace business model is to "own" the entire purchase and...
Por Business Academy 2022-09-17 03:30:42 0 6KB
ESTHER
ESTA SURA YA 5, 6 & 7
Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO litukuzwe. Huu ni mwendelezo wa kitabu cha Esta. Katika...
Por GOSPEL PREACHER 2022-01-20 02:51:54 0 6KB
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 12
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-05-20 11:47:05 0 8KB