Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7χλμ.
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:54:05 0 6χλμ.
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:12:00 0 5χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
MAOMBI PEKE YAKE BILA IMANI HAYATOSHI KUTENGENEZA JIBU LA MAHITAJI YAKO.
Marko 9:14-29. Hii ni habari ya yule baba aliyekuwa na mwana mwenye pepo bubu na kiziwi, akamleta...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:47:11 0 5χλμ.
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 12
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-26 03:40:06 0 5χλμ.
REVELATION
UFUNUO 15
Karibu tujifunze mwendelezo wa kitabu cha ufunuo, leo tukiendelea na sura ya 15; Ufunuo...
από GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:50:48 0 7χλμ.