Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7χλμ.
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
MASWALI & MAJIBU
Je! Inawezekana mtu akawa anafanya miujiza na bado asinyakuliwe?
SWALI: Naomba kuelewa kwanini mtu atoe pepo, aombee wagonjwa wapone, asikie sauti ya Mungu...
από GOSPEL PREACHER 2022-06-12 23:16:05 0 6χλμ.
OTHERS
MUHAMMAD NI MTUME BANDIA
1. Hakutumwa na Mungu2. Alipewa Utume na Mkewe3. Alichezewa na Mashetani tokea utoto wake Leo...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:33:15 0 5χλμ.
UCHUMBA KIBIBLIA
UCHUMBA NI NINI? NA NDOA NI NINI?
Shalom, wapendwa,Katika somo letu leo nataka tuangalie vitu hivi viwili, mahusiano ya uchumba na...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-06 13:06:36 0 7χλμ.
GENESIS
Book of Genesis Explained
Genesis is the book of beginnings. It records the beginning of time, life, sin, salvation, the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-01 09:49:39 0 8χλμ.
OTHERS
KWANINI SULEIMAN ALIKUWA NA WAKE MIA SABA (700) NA MASURIA MIA TATU (300)?
Kwenye 1 WaFalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:03:13 0 6χλμ.