Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7χλμ.
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
TANZANIA
PROSHABO ONLINE SCHOOL
WELCOME TO PROSHABO ONLINE SCHOOL Please select which class are you? CHEKECHEA CHEKECHEA 1...
από PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:05:17 0 5χλμ.
OTHERS
MBINU ZINAZOTUMIKA NA WAISLAMU ILI KUHARIBU IMANI YA KIKRISTO KATIKA KARNE YA 20-21 (21st CENTURY ISLAMIC STRATERGIES TO ELIMINATE/CORRUPT CHRISTIANITY IN AFRICA)
Utangulizi: Leo hii, ukitembea sehemu mbalimbali hapa duniani utakutana na waislamu wengi sana....
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:27:52 0 5χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
JE, SABATO NI SI SIKU KATIKA JUMA?
1. Je, Israeli walipokuwa jangwani kwani hawakuwa wakitunza sabato kama siku?2. Kama basi...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:36:42 0 5χλμ.
1 KINGS
Verse by verse explanation of 1 Kings 19
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-02-05 15:55:21 0 6χλμ.
OTHERS
If Jesus was God, why did He say 'No one is good but God alone'?
It is often claimed by those who reject the deity of Christ that inMark 10:17-22Jesus denies His...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:46:29 0 5χλμ.