Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Search
Categories
Read More
OTHERS
UNAJUA KWANINI WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD KILA SIKU?
KWASABABU MUHAMMAD ALIKUFA NA DHAMBI NYINGI SANA KULIKO KIUMBE CHOCHOTE KILE.   Katika...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:37:38 0 5K
OTHERS
Ni kwa nini uzao wa ubikira ni wa maana?
 Funzo la uzao wa ubikira ni la maana sana (Isaya 7:14 Mathayo 1:23; Luka 1:27,34). Kwanza,...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:41:23 0 5K
JOB
Verse by verse explanation of Job 1
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 37 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 13:15:14 0 5K
DANIEL
DANIELI 10
Jina la Bwana wetu YESU KRISTO libarikiwe. Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Danieli,...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-08 01:49:19 0 8K
Injili Ya Yesu Kristo
DHIKI KUBWA
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
By GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:08:15 0 7K