Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Tafuta
Vitengo
Soma Zaidi
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 17
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 17 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:20:25 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
NAMNA YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA ROHO MTAKATIFU.
Yohana 14:16-17. Biblia inasema “ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:59:31 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
TAJI KWA WATAKATIFU NA HARUSI YA MWANAKONDOO
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
Kwa GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:35:38 2 5K
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 53 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-03 04:34:43 0 5K
DANIEL
DANIELI 11
Mungu wetu MKUU YESU KRISTO, asifiwe. Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Danieli, kama...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-08 01:50:31 0 7K