Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Cerca
Categorie
Leggi tutto
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 20 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:24:20 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
Jinsi Ya Kumpokea Roho Mtakatifu
“Je Unajua kuwa watumishi wengi sasa wanaogopa kufanya maombezi ya kuombea watu ujazo wa...
By GOSPEL PREACHER 2022-04-01 15:48:30 0 7K
Religion
Jinsi Shetani Anavyopofusha Fikra za Watu: Maandiko ya Biblia Yanayofafanua
Katika Biblia, Shetani anaelezewa kama roho mbaya ambaye anaweza kushawishi, kudanganya, na...
By GOSPEL PREACHER 2025-09-28 05:02:20 0 140
OTHERS
ABOUT BISHOP ZACHARY KAKOBE ( HISTORY)
Bishop Zachary Kakobe is the International Revivalist, and Founder of Bishop Zachary Kakobe...
By GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:53:13 0 10K
SPIRITUAL EDUCATION
Prayers for Success and Breakthroughs in Business
Confessions: Psalms 56:9; 32:8; 23:1,6 Exodus 23:20 Praise Worship 1. Let all my enemies...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:31:49 0 5K