Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Cerca
Categorie
Leggi tutto
NEHEMIAH
Verse by verse explanation of Nehemiah 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 12:34:25 0 6K
REVELATION
UFUNUO 9
Shalom.Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Ufunuo, ni vizuri ukakisoma kitabu hichi peke yako...
By GOSPEL PREACHER 2021-10-30 10:39:01 0 5K
Networking
Marketplace pricing: How to define your ideal take rate
As a marketplace owner, pricing is one of the most important decisions you need to make. This is...
By Business Academy 2022-09-17 03:26:58 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
MAANA YA KANISA
Kwanza kabisa neno Kanisa linamaanisha "mkusanyiko wa waamini" kama ule wa Waisraeli chini ya...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:00:38 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
YESU KRISTO NI MUNGU: THIBITISHO SABA
UFUNUO WA YOHANA 1:1-7 Kitabu hiki kinaelezea jinsi itakavyokua baadaye kwa watendao maovu...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:25:58 0 5K