Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7KB
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Suche
Kategorien
Mehr lesen
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 77 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-01-22 11:43:06 0 5KB
OTHERS
Kwa Nini Niliacha Uislamu na Kumpokea Yesu?
Mutee'a Al-Fadi alikuwa ni Mwislamu mwenye msimamo mkali wa Wahabbi ambao alisomea kule Saudi...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:30:32 0 5KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 1
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-01-24 19:17:34 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
ZIJUE FUMBO ZA ADUI SHETANI ILI ZISIKUNASE
Kati ya yale makanisa 7 tunayoyasoma katika kitabu cha Ufunuo, Kanisa la Thiatira, lilikuwa ni la...
Von GOSPEL PREACHER 2023-08-19 23:32:40 0 7KB
2 SAMUEL
Book of 2 Samuel Explained
Introduction: See 1 Samuel for the introductory discussion. First and Second Samuel were...
Von THE HOLY BIBLE 2022-01-27 20:29:09 0 6KB