Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
OTHERS
ATTRIBUTES OF GOD
Discover God’s Attributes Many Reformed theologians distinguish between...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 08:53:08 0 9K
HOLY BIBLE
Comforting Bible Verses
Our God cares about us. No matter what is happening, he never leaves us. Scripture tells us God...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:56:09 0 5K
Religion
USIFUATE MAMBO YAKO TU!!
Ipo faida  ya kufuata mambo yako na kutojishughulisha na mambo ya wengine!.. Lakini pia ipo...
By GOSPEL PREACHER 2021-10-09 23:17:01 2 6K
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 27
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 23 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-22 18:18:50 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
MSHINDE GOLIATHI.
Bwana Yesu asifiwe… Kwa ufupi; Goliathi alikuwa ni mtu wa vita wa kifilisti. Habari za mtu...
By GOSPEL PREACHER 2022-03-30 05:03:54 0 5K