Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7KB
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 5
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 38 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-25 10:50:14 0 5KB
OTHERS
NANI ALIYE TOLEWA KAFARA, ISHMAEL AU ISAKA?
Kwenye Mwanzo 22:1-18, je inawezekana kuwa mvulana ambaye Abraham alikaribia kumtoa kafara awe ni...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:41:15 0 5KB
OTHERS
LaTeX/Mathematics
< LaTeX Jump to navigationJump to search LaTeX One of the greatest...
Par PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2022-10-24 14:04:03 0 9KB
FORM 1
CIVICS: FORM 1
List of all topics in Civics for the form 1 class: CLICK HERE TO DOWNLOAD. INTRODUCTION TO...
Par PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 12:49:23 0 6KB
URAFIKI KIBIBLIA
JE, NITAJUAJE KAMA YUPO KWA AJILI YA NGONO AU KWA AJILI YA NDOA?
Hili ni miongoni mwa swali ninaloulizwa na mabinti wengi sana. Kwa hiyo nimeona ni muhimu sana...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:23:57 0 6KB