Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7KB
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 22
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-02-05 10:08:34 0 6KB
GENESIS
THE BOOK OF GENESIS EXPLAINED
  BOOK OF GENESIS Genesis is the book of beginnings. It records the beginning of time, life,...
Par GOSPEL PREACHER 2021-08-25 14:23:57 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
HAKIMU ALIYE TOFAUTI NA MAHAKIMU WOTE
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:34:25 0 6KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:06:45 0 5KB
1 KINGS
The Book of 1 Kings Explained
Title: First and Second Kings were originally one book, called in the Hebrew text,...
Par THE HOLY BIBLE 2022-02-05 12:12:09 0 6KB