Biblia inasema nini juu ya kushirikiana katika ngono kabla kuoana?

0
7K
Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).
 
Kushirikiana katika ngono kabla ndoa kumeenea sana kwa sababu nyingi. Mapenzi yanastarehesha. Mungu aliyaumba hivyo. Anawataka wanaume na wanawake wafurahie kitendo cha ngono (ndani ya ndoa). Hata hivyo, lengo la msingi la ngono si starehe bali kuzaana tukaongezeke. Hivyo tunazuiwa kufanya kitendo cha ngono kabla ndoa ili tusijipatie watoto tusiowatarajia. Kama jambo hili lingezingatiwa, magonjwa ya zinaa na wamama wasioolewa na kuavya mimba na kadhalika kungepungua. Kujizuia kunaokoa maisha, kunalinda watoto wachanga na kuleta ladha halisi ya ngono pamoja na heshima kwa Mungu.
Zoeken
Categorieën
Read More
MASWALI & MAJIBU
Je! Kiongozi Wa Dini Anao uwezo Wa Kusamehe Dhambi?
SWALI: Je! Ni sahihi kwenda kumfuata kiongozi wa dini kwa mfano Padre na kumpigia magoti...
By GOSPEL PREACHER 2022-06-13 08:52:55 0 7K
EXODUS
Book of Exodus Explained
Exodus relates the story of freedom for God’s people from slavery and the beginning of...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-21 12:25:44 0 8K
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
Should Christians desire wealth?
For the Christian, wealth requires extreme caution. While wealth is not evil or bad in and of...
By BIBLICAL FINANCES 2021-12-29 15:23:39 0 7K
MAHUSIANO KIBIBLIA
VIJANA MSIYACHOCHEE MAPENZI HATA YATAKAPOONA VEMA YENYEWE
Shalom, leo katika ukurasa huu wa maswali na majibu nataka kujibu swali kuhusu mwenendo wa vijana...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:18:43 0 7K
NDOA KIBIBLIA
UGUMU WA MIOYO NA MAHUSIANO (YA NDOA)
Ugumu wa moyo ni sumu ya mahusiano yoyote hususani mahusiano ya uchumba na ndoa. Sababu ya kuwepo...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:32:43 0 5K