JONAH
    YONA 4
    Bwana wetu YESU KRISTO atukuzwe. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa neema hii mpya ya kujifunza Neno lake. Leo tukiwa ukingoni kabisa wa kitabu cha Yona ile sura ya nne. Kama tulivyojifunza katika sura zilizotangulia, Nabii Yona anawakilisha kundi la wakristo pamoja na wahubiri walio vuguvugu wa Imani biblia inawaita wanawali wapumbavu, ambao walipaswa kuingia na Bwana wao katika karamu lakini kwasababu Taa zao hazikuwa na mafuta ya ziada wakaachwa. Kwasababu walikisia tu kwamba yale mafuta...
    Por GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:14:39 0 5KB
    JONAH
    YONA 3
    Bwana wetu YESU KRISTO ahimidiwe milele na milele. AMEN. Karibu tujifunze Neno la Mungu, leo tukiwa katika ile sura ya 3 ya kitabu cha Nabii Yona. Katika sura zilizotangulia tuliona jinsi taabu na dhiki alizopitia Yona zinafananishwa na dhiki watakazokuja kupitia wakristo waliovuguvugu (wanawali wapumbavu mathayo 25) watakaokosa unyakuo. Pia tuliona kama vile Yona alivyomezwa na Yule samaki mkubwa atokaye baharini na kukaa muda wa siku tatu katika lile tumbo, hawa nao...
    Por GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:12:44 0 6KB
    JONAH
    YONA 2
    Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Karibu katika mwendelezo wetu wa kitabu cha nabii Yona. Tukiwa katika sura ya pili, tulishaona katika sura iliyopita jinsi Yona alivyojitenga na mapenzi ya Mungu kwa kukataa kwenda katika njia zake, na kujikuta akingukia mambo mabaya badala ya mema kwa kumezwa na yule nyangumi mkubwa, na tukaona kuwa habari hiyo inafunua siri ya kanisa la Kristo katika wakati wa siku hizi za mwisho, kwa wale wakristo vuguvugu wa kanisa la mwisho la Laodikia...
    Por GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:04:34 0 5KB
    JONAH
    YONA 1
    Yona alikuwa mmoja wa manabii wa Israeli wakati wa utawala wa Yeroboamu Mfalme wa Israeli, ambaye Mungu alimtumia sana kutoa unabii kadha wa kadha katika Israeli, kama tunavyomsoma katika (2Wafalme 14:21-25). Lakini ilifika wakati BWANA akataka kumtuma kwa watu wa Mataifa, Mji wa NINAWI uliokuwa mji mkuu wa Taifa la ASHURU ambalo kwa wakati ule lilikuwa ni moja ya ngome yenye nguvu duniani ndilo lililokuja baadaye kuhusika kuwachukua wana wa Israeli...
    Por GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:02:57 0 8KB
Blogs
Descrição
Learn various facts about God, which are found in the book of Jonah.
Leia mais
Injili Ya Yesu Kristo
Biblia inasema je ju ya chale/ kujitoboa mwili?
Agano la kale liliwaamuru waIsraeli, “Msiikate miili yenu kwa ajili ya wafu wala kuchanja...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 04:11:41 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
SABABU TANO KWANINI WAKRISTO WANAABUDU JUMAPILI
Ndugu msomaji, Katika kijarida hiki kifupi, nitakuwekea sababu tano (5) kwanini Wakristo...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:12:13 0 7KB
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-01 21:57:06 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
MIKATABA INAYOTOKANA NA KAFARA
Na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima    Utangulizi: Wakristo wengi huwa hawazungumzii...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:28:30 0 5KB
STANDARD 2
STANDARD 2
List of all subjects for the standard 2 class
Por PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:19:03 0 5KB