JONAH
    YONA 4
    Bwana wetu YESU KRISTO atukuzwe. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa neema hii mpya ya kujifunza Neno lake. Leo tukiwa ukingoni kabisa wa kitabu cha Yona ile sura ya nne. Kama tulivyojifunza katika sura zilizotangulia, Nabii Yona anawakilisha kundi la wakristo pamoja na wahubiri walio vuguvugu wa Imani biblia inawaita wanawali wapumbavu, ambao walipaswa kuingia na Bwana wao katika karamu lakini kwasababu Taa zao hazikuwa na mafuta ya ziada wakaachwa. Kwasababu walikisia tu kwamba yale mafuta...
    By GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:14:39 0 6K
    JONAH
    YONA 3
    Bwana wetu YESU KRISTO ahimidiwe milele na milele. AMEN. Karibu tujifunze Neno la Mungu, leo tukiwa katika ile sura ya 3 ya kitabu cha Nabii Yona. Katika sura zilizotangulia tuliona jinsi taabu na dhiki alizopitia Yona zinafananishwa na dhiki watakazokuja kupitia wakristo waliovuguvugu (wanawali wapumbavu mathayo 25) watakaokosa unyakuo. Pia tuliona kama vile Yona alivyomezwa na Yule samaki mkubwa atokaye baharini na kukaa muda wa siku tatu katika lile tumbo, hawa nao...
    By GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:12:44 0 6K
    JONAH
    YONA 2
    Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Karibu katika mwendelezo wetu wa kitabu cha nabii Yona. Tukiwa katika sura ya pili, tulishaona katika sura iliyopita jinsi Yona alivyojitenga na mapenzi ya Mungu kwa kukataa kwenda katika njia zake, na kujikuta akingukia mambo mabaya badala ya mema kwa kumezwa na yule nyangumi mkubwa, na tukaona kuwa habari hiyo inafunua siri ya kanisa la Kristo katika wakati wa siku hizi za mwisho, kwa wale wakristo vuguvugu wa kanisa la mwisho la Laodikia...
    By GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:04:34 0 5K
    JONAH
    YONA 1
    Yona alikuwa mmoja wa manabii wa Israeli wakati wa utawala wa Yeroboamu Mfalme wa Israeli, ambaye Mungu alimtumia sana kutoa unabii kadha wa kadha katika Israeli, kama tunavyomsoma katika (2Wafalme 14:21-25). Lakini ilifika wakati BWANA akataka kumtuma kwa watu wa Mataifa, Mji wa NINAWI uliokuwa mji mkuu wa Taifa la ASHURU ambalo kwa wakati ule lilikuwa ni moja ya ngome yenye nguvu duniani ndilo lililokuja baadaye kuhusika kuwachukua wana wa Israeli...
    By GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:02:57 0 8K
More Blogs
Description
Learn various facts about God, which are found in the book of Jonah.
Read More
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
5 Money Mistakes That Lead to Debt
Here are five common money mistakes that can quickly lead to debt. Avoid them at all costs. 1....
By BIBLICAL FINANCES 2021-12-29 15:51:36 0 11K
SPIRITUAL EDUCATION
MACHO YA TAI AWINDAE MAWINDO YAKE
Macho ya Tai AWINDAE mawindo yake  Kila mmoja wetu tunapaswa kuwa na macho ya kuona...
By Martin Laizer 2023-09-22 09:29:34 2 20K
PRE-UNIT
PRE-UNIT 2
List of all of subjects for pre-unit 2 students
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:09:26 0 6K
OTHERS
VIOJA VYA MUHAMMAD: ETI MAITI YA KIISLAMU INA UFAHAMU. NA INAJUA NANI ANAIBEBA
Kasema Mtume (S.a.w)“Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-25 11:40:54 0 5K
OTHERS
JE, MUHAMMAD AU JIBRIL NI ROHO YA KWELI/ROHO MTAKATIFU?
Leo nitawajibu Waislam wote duniani kwa kutumia Biblia Takatifu kuwa Muhammad hakuwa Roho ya...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:28:12 0 7K