JONAH
    YONA 4
    Bwana wetu YESU KRISTO atukuzwe. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa neema hii mpya ya kujifunza Neno lake. Leo tukiwa ukingoni kabisa wa kitabu cha Yona ile sura ya nne. Kama tulivyojifunza katika sura zilizotangulia, Nabii Yona anawakilisha kundi la wakristo pamoja na wahubiri walio vuguvugu wa Imani biblia inawaita wanawali wapumbavu, ambao walipaswa kuingia na Bwana wao katika karamu lakini kwasababu Taa zao hazikuwa na mafuta ya ziada wakaachwa. Kwasababu walikisia tu kwamba yale mafuta...
    Kwa GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:14:39 0 5K
    JONAH
    YONA 3
    Bwana wetu YESU KRISTO ahimidiwe milele na milele. AMEN. Karibu tujifunze Neno la Mungu, leo tukiwa katika ile sura ya 3 ya kitabu cha Nabii Yona. Katika sura zilizotangulia tuliona jinsi taabu na dhiki alizopitia Yona zinafananishwa na dhiki watakazokuja kupitia wakristo waliovuguvugu (wanawali wapumbavu mathayo 25) watakaokosa unyakuo. Pia tuliona kama vile Yona alivyomezwa na Yule samaki mkubwa atokaye baharini na kukaa muda wa siku tatu katika lile tumbo, hawa nao...
    Kwa GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:12:44 0 6K
    JONAH
    YONA 2
    Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Karibu katika mwendelezo wetu wa kitabu cha nabii Yona. Tukiwa katika sura ya pili, tulishaona katika sura iliyopita jinsi Yona alivyojitenga na mapenzi ya Mungu kwa kukataa kwenda katika njia zake, na kujikuta akingukia mambo mabaya badala ya mema kwa kumezwa na yule nyangumi mkubwa, na tukaona kuwa habari hiyo inafunua siri ya kanisa la Kristo katika wakati wa siku hizi za mwisho, kwa wale wakristo vuguvugu wa kanisa la mwisho la Laodikia...
    Kwa GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:04:34 0 5K
    JONAH
    YONA 1
    Yona alikuwa mmoja wa manabii wa Israeli wakati wa utawala wa Yeroboamu Mfalme wa Israeli, ambaye Mungu alimtumia sana kutoa unabii kadha wa kadha katika Israeli, kama tunavyomsoma katika (2Wafalme 14:21-25). Lakini ilifika wakati BWANA akataka kumtuma kwa watu wa Mataifa, Mji wa NINAWI uliokuwa mji mkuu wa Taifa la ASHURU ambalo kwa wakati ule lilikuwa ni moja ya ngome yenye nguvu duniani ndilo lililokuja baadaye kuhusika kuwachukua wana wa Israeli...
    Kwa GOSPEL PREACHER 2022-01-20 03:02:57 0 8K
More Blogs
Maelezo
Learn various facts about God, which are found in the book of Jonah.
Soma Zaidi
Injili Ya Yesu Kristo
YESU ALIISHI KABLA YA DUNIA KUUMBWA
1. Yesu asema kabla ya Abraham kuwepo yeye aliishi2. Yesu aendelea kusema kuwa kabla ya dunia...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 03:40:41 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
Yesu Kristo anayo amri na mamlaka ya kusamehe dhambi
Kuna jambo lililowahi kutokea hadi likawashangaza watu; hebu fatilia kisa hiki. Biblia Takatifu...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:01:19 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
MKRISTO NA UCHUMI: CHRISTOPHER MWAKASEGE
Utangulizi SI MAPENZI YA MUNGU TUWE MASIKINI! (Namna ya mkristo kuishi katika hali ngumu ya...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:19:55 0 12K
Injili Ya Yesu Kristo
UNYAKUO NI NINI NA NI LINI? KINA NANI WATANYAKULIWA?
JE UNAO UHAKIKA UTANYAKULIWA NA YESU KWENDA MBINGUNI AU UTAACHWA HAPA DUNIANI? BWANA YESU...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-19 05:42:06 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
KWA NINI VIJANA WENGI HAWAJAKA KWENYE NAFASI ZAO KI-MUNGU?
1 Yohana 2:14  Kila kundi katika kanisa, jamii na hata nchi Mungu amelipa nafasi na wajibu...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:30:49 0 9K