Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
5Кб

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Поиск
Категории
Больше
Injili Ya Yesu Kristo
JINSI WACHAWI WANAVYOCHUKUA NYOTA YAKO
UTANGULIZI: Huu ni mwendelezo wa somo la Nyota na Maisha mtu aliyonayo. Mathayo 2:1; Kama...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:13:14 0 6Кб
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-01-26 05:17:22 0 6Кб
SPIRITUAL EDUCATION
The False Doctrine of “Once Saved, Always Saved”
Few false doctrines are more dangerous than the Calvinistic assertion of “eternal...
От PROSPER HABONA 2022-01-15 11:36:07 0 6Кб
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 20 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:24:20 0 6Кб
Injili Ya Yesu Kristo
UNATEKELEZA WAZO LA NANI UNAPOKUWA NDANI YA JARIBU?
Andiko la msingi ni Matahayo 27:11-20.  Mpenzi msomaji ninakusalimu katika jina la Bwana...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:22:26 0 5Кб