Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
4χλμ.

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
OTHERS
WAZAZI WA MUHAMMAD WALIKUWA MAKAFIRI NA WALIKUFA MAKAFIRI
Ndugu msomaji, KUMBE MAMA YAKE NABII MUHAMMAD ALIKUFA KAFIRI Bi Amina mamake na Muhammad kafa...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:28:03 0 5χλμ.
MAHUSIANO KIBIBLIA
AINA 8 ZA WANAWAKE WASIODUMU KWENYE MAHUSIANO
Hakuna mtu anayependa kuachika au kuvunja mahusiano. Iwe mwanaume au mwanamke kitengo cha...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-06 12:48:08 0 10χλμ.
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 13
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:09:48 0 5χλμ.
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 3
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 35 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-03-20 04:32:03 0 5χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI IMANI YA MWANAMKE MKANANAYO ILIONEKANA KUWA KUBWA?
Nakusalimu kwa jina la Bwana, amani na iwe kwako. Katika Mathayo 15:21-28 maandiko...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:17:48 0 5χλμ.