Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
5KB

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Suche
Kategorien
Mehr lesen
OTHERS
YESU NI MWANA WA MUNGU MAANA YAKE NINI?
Wanadhuoni wa Kiislam pamoja na waumini wa dini ya Kiislam huwa wanauliza na kusema kwa Wakristo...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 03:43:22 0 6KB
HOLY BIBLE
Do you have to be baptized to be filled with the Holy Spirit?
No, you do not have to be baptized to be filled with the Holy Spirit. To prove this all we have...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:39:59 0 5KB
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 9
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:35:56 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
DHAMBI YA MAWAZO MABAYA
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe Tovuti : http://www.bishopzacharykakobe.org...
Von GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:02:47 0 7KB
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 23
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-02-05 10:12:01 0 6KB