Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
5K

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
Injili Ya Yesu Kristo
ROHO MTAKATIFU
Ndugu msomaji; Je, unamfahamu Roho Mtakatifu? Je, Roho Mtakatifu ni nani kwako?   Katika...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:33:29 0 5K
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:10:31 0 6K
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 7
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-21 14:23:46 0 6K
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 13 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:18:33 0 6K
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 41 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 10:49:09 0 6K