Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
5K

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Tafuta
Vitengo
Soma Zaidi
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 21
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-03-20 05:08:28 0 6K
JOB
Verse by verse explanation of Job 34
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 23 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:14:29 0 6K
2 KINGS
Verse by verse explanation of 2 Kings 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-03-19 19:58:57 0 5K
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 52 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-24 19:19:39 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
IT IS NOT FOR THE ANOINTED
This message was given to me on the evening of  March 29, 2014 in Njombe Region after...
Kwa GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:40:43 0 5K