Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
4K

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Tafuta
Vitengo
Soma Zaidi
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 1
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 40 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-25 10:42:33 0 5K
ESTHER
Verse by verse explanation of Esther 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-04-02 13:03:00 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
YOUR BODY WAS PURCHASED BY JESUS CHRIST
(I Corinthians 6:12-20): 12 All things are lawful for me, but all things are not helpful. All...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:40:26 0 5K
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 60 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-22 18:11:03 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
What does the Bible say about sex before marriage?
There is no Hebrew or Greek word used in the Bible that precisely refers to sex before marriage....
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:27:04 0 5K