Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
4K

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Pesquisar
Categorias
Leia Mais
Injili Ya Yesu Kristo
MTUMWA WA DHAMBI.
Shalom…Kwa ufupi.” Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi...
Por GOSPEL PREACHER 2022-03-30 04:56:52 0 5K
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 5
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 42 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:02:55 0 5K
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 13
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 39 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-25 11:07:08 0 5K
JOB
Verse by verse explanation of Job 36
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:18:39 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
What are fallen angels?
Angels are created beings used by God as messengers, warriors, and servants. The word "angel"...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:55:44 0 5K