Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?

0
5Кб

JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu ukweli tangu zamani, na hataki kufanya hivyo au anapinga, huyo mtu atahukumiwa…Lakini kama huyo mtu ndio mara yake ya kwanza kuamini na kwa bahati mbaya akafa kabla ya kubatizwa, ataokolewa atafananishwa na yule mhalifu pale msalabani aliyekufa na Bwana.

Lakini Wapo watu baada ya kuujua ukweli, hawataki kuufanya uteule wao na wito wao imara kulingana na 2Petro 1: 10 “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.”

Kadhalika biblia inasema pia katika

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. “

Soma tena hapa..

Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi”.

Hivyo masuala ya rohoni ni ya kuyatimiza kwa kuogopa na kutetemeka, na sio ya kuyachukulia tu kijuu juu.. Tunapoujua ukweli na mapenzi ya Mungu tunapaswa kuyafanya.

Wafilipi 2:12”…. utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka”.

Ubarikiwe.

Поиск
Категории
Больше
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 35 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-03-20 04:52:06 0 5Кб
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 54 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-03-20 04:30:57 0 5Кб
SPIRITUAL EDUCATION
The Deity of the Holy Spirit
Christianity has traditionally taught that the Holy Spirit is the third Person or Hypostasis of...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:06:53 0 5Кб
REVELATION
UFUNUO 17
Karibu tujifunze kitabu cha Ufunuo leo tukiwa katika mwendelezo wetu wa sura ya 17, Biblia...
От GOSPEL PREACHER 2021-10-30 12:05:54 0 7Кб
SPIRITUAL EDUCATION
BIASHARA 10 AMBAZO ZIPO CHINI YA GHADHABU YA MUNGU NA HAUPASWI KUZIFANYA
 ...
От GOSPEL PREACHER 2026-05-01 02:59:55 0 120