JE, UNAWEZA KUOKOKA BILA YA KUPITIA YESU?

0
4K
Je naweza kuingia mbinguni bila kumkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wangu?
Jibu: Hapana, huwezi kwenda mbinguni kama unakataa kumkubali Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako. Mambo manne ya kuzingatia kwenye jibu hili.
 
Haki: Mungu ni mwema, Mtakatifu, mwenye haki kwa watu wote (Waebrania 6:10). Mungu huwahukumu watu kwa kuzingatia ufahamu walio nao (Warumi 4:15; 5:13). Abraham hakujua jina la Yesu, lakini alimfuata Mungu na bado aliokolewa kupitia Yesu. (Yohana 8:56, Waebrania 9)
 
Njia moja tu: Hatuwezi kwenda mbinguni kwa kutegemea haki yetu wenyewe; tunahitaji rehema na neema za Mungu kupitia kwa Yesu. Yesu siyo tu njia ya kwendea kwa Mungu bali pia ni njia pekee ya kwendea kwa Mungu. (Yoh 14:6; 15:5; Matendo 4:12). Njia pekee ya kuifikia mbingu ya Mungu ni kupitia njia ya Mungu.
 
Ukimkataa Yesu kama Mwana wa Mungu utakuwa umeikataa mbingu: Hata kwa mtu anayeshika dini sana, Farisayo wa kiyahudi, Yesu alisema kuwa kama ukinikataa utakufa kwenye dhambi zako. (Yohana 8:24)
 
Mungu hutafuta: Mungu hapendi mtu yoyote aangamie (2 Petro 3:9), lakini kama Yeremia alivyowalilia watu wake (Yeremia 13:17; 14:17) na kama Yesu alivyoililia Yerusalem (Luka 19:41-44) na kama Petro alivyowasihi watu waliokuwa wanamsikiliza (Matendo 2:40), Mungu, huwatafuta watu wake kwa haja hiyo hiyo.
 
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Shalom.
Buscar
Categorías
Read More
EZRA
Verse by verse explanation of Ezra 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 06:11:27 0 5K
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 26
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-26 04:24:39 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
USIPOKUWA NA WAZO JIPYA HUWEZI KUTOKA MAHALI ULIPO
Salaam katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Katika waraka wa Oktoba 2016 nimeona umuhimu wa...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:32:24 0 5K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 61 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:43:35 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
INJILI niliisikia ila NILISHUPAZA SHINGO YANGU!!!!.
(Ushuhuda wa dada Penina)."""""'"""""""""""""""""""'''''''''''''''''''"Siku moja nikiwa na...
By GOSPEL PREACHER 2022-02-21 22:18:50 0 5K