KUMTUMAINI MUNGU
Сообщение 2021-08-31 06:48:51
0
6Кб

HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6


Поиск
Категории
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Больше
Nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwaajili ya Kristo!
Wafilipi 3:4-11 “Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu ye yote akijiona kuwa anayo...
Verse by verse explanation of Genesis 22
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
YESU ALIISHI KABLA YA DUNIA KUUMBWA
1. Yesu asema kabla ya Abraham kuwepo yeye aliishi2. Yesu aendelea kusema kuwa kabla ya dunia...
Verse by verse explanation of Judges 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Ubatizo Wa Moto Ni Upi?
JIBU: Ni kweli Yohana alibatiza kwa maji na alisema Bwana YESU atakapokuja atatubatiza kwa...