KUMTUMAINI MUNGU
Postado 2021-08-31 06:48:51
0
6KB
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia mais
Je, Mkristo anapaswa kufanya nini kama yeye ameolewa na asiyeamini?
Kuoleka na kafiri inaweza kuwa mojawapo ya changamoto ngumu sana katika maisha ya Mkristo. Ndoa...
YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo...
Comforting Bible Verses
Our God cares about us. No matter what is happening, he never leaves us. Scripture tells us God...
ISHARA ZA ZAMANI HIZI
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe
Tovuti : http://www.bishopzacharykakobe.org...
Verse by verse explanation of 1 Samuel 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...