KUMTUMAINI MUNGU
Postado 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia Mais
Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ‘ukiokoka, umeokolewa milele (the false doctrine of Once saved always saved, OSAS)
Fundisho la uongo kuwa “mtu akisha okoka, ameokoka siku zote” linafundisha kwamba...
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 26
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Kusulubiwa Na Kufa na Kufufuka Kwa Yesu Kristo!
Leo nataka tutafakari kwa Pamoja mojawapo ya somo muhimu sana katika maisha ya Ukristo kwa kuwa...
FAHAMU KUHUSU JINA LA FARAO
Kwa ufupi…
Bwana Yesu asifiwe…
Je unafahamu nini kuhusu jina hili la farao? Basi...
JE, UNAWEZA KUOKOKA BILA YA KUPITIA YESU?
Je naweza kuingia mbinguni bila kumkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wangu?
Jibu: Hapana, huwezi...