KUMTUMAINI MUNGU
Postado 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia Mais
SEHEMU YA 5: MISINGI YA KIIMANI KATIKA MAHUSIANO YA UCHUMBA HADI NDOA
Bwana asifiwe!! Unaweza kusoma SEHEMU YA 1, SEHEMU YA 2, SEHEMU YA 3, SEHEMU YA 4 ya somo hili,...
How to validate your marketplace idea before building the platform
Recognizing a good marketplace idea or a viable business model is difficult.
If you...
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Ni kwa nini uzao wa ubikira ni wa maana?
Funzo la uzao wa ubikira ni la maana sana (Isaya 7:14 Mathayo 1:23; Luka 1:27,34). Kwanza,...
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...