KUMTUMAINI MUNGU

0
6KB

HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:

Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.

Mithali 3:5-6

Love
Like
3
Rechercher
Catégories
Lire la suite
REVELATION
UFUNUO 6
Katika kitabu cha ufunuo sura ya tano, tunaona Mungu akiwa ameketi katika kiti chake cha enzi...
Par GOSPEL PREACHER 2021-10-30 09:45:30 0 5KB
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:12:00 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
MATOKEO YA DHAMBI YA UZINZI/UASHERATI KWA MTU ALIYEOKOKA.
Nakusalimu katika jina la Bwana mwezi huu wa tisa. Katika mwezi huu nimesukumwa ndani yangu...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:49:03 0 5KB
HOLY BIBLE
What did Jesus come to do?
To reveal the Father (Matt. 11:27) "All things have been committed to me by my Father. No...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:54:43 0 6KB
OTHERS
Yesu Kristo hajaumbwa bali alikuwepo tangu milele yote
Ni kweli kabisa kwamba Yesu alikuwepo tangu milele yote kabla ya kuumbwa kitu cho chote kile....
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 08:58:23 0 5KB