KUMTUMAINI MUNGU
Posted 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Buscar
Categorías
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Read More
UMEJIAANDAJE KWA TUKIO LA UNYAKUO? (Sehemu ya 2)
Katika sehemu hii ya pili nataka tuweze kuangalia jinsi baadhi ya maandiko yanavyozungumzia tukio...
Verse by verse explanation of Job 9
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
Verse by verse explanation of 2 Samuel 13
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
NIFANYE NINI ILI KUSHINDA TAMAA ZA MWILI?
JE, NINAWEZA KUISHINDA DHAMBI?
Sasa je, tunaweza kweli kuishi humu duniani bila dhambi?
...
SIRI YA MUNGU
Shalom Mwana wa Mungu, karibu tujifunze biblia, chakula cha uzima, kitupacho afya rohoni, leo...