KUMTUMAINI MUNGU
Posted 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Buscar
Categorías
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Read More
Verse by verse explanation of Psalm 7
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...
MWANAUME: KAA NA MKE WAKO KWA AKILI
KWELI KUU: Mwanaume mwenye akili akishindwa kukaa na mke wake ni kwa sababu amekosa akili.1Petro...
The Deity of the Holy Spirit
Christianity has traditionally taught that the Holy Spirit is the third Person or Hypostasis of...
Verse by verse explanation of 1 Kings 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...