KUMTUMAINI MUNGU
Posted 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Buscar
Categorías
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Read More
ALLAH IS A CREATION AND NOT THE CREATOR
Who is Allah?
the Islamic diabolical deity is called “The Greatest Deceiver”...
MILANGO YA FAHAMU YA KIROHO
MILANGO YA FAHAMU KATIKA HALI YA MWILI
Milango ya fahamu ni ogani za mwili zinazoturuhusu...
What are the keys of the kingdom?
The biblical passage that makes reference to the “keys of the kingdom” isMatthew...
ESTA SURA YA 1 & 2
MFALME wa WAFALME YESU KRISTO Bwana wetu, atukuzwe daima
Karibu kwa neema za Mungu...
Verse by verse explanation of 2 Samuel 24
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...