KUMTUMAINI MUNGU
Veröffentlicht 2021-08-31 06:48:51
0
6KB

HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6


Suche
Kategorien
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Mehr lesen
HISTORIA FUPI YA IBADA YA KISHETANI YA ROZARI.
UTANGULIZI
Katika Biblia hakuna mahali popote pale panapofundisha kuwa tusali rozali, na hata...
KUJA KWA YESU KRISTO MARA YA PILI DUNIANI NA VITA YA HAR-MAGEDONI
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...
AMANI YA KRISTO IAMUE MIOYONI MWENU
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...
JE, NITAJUAJE KAMA YUPO KWA AJILI YA NGONO AU KWA AJILI YA NDOA?
Hili ni miongoni mwa swali ninaloulizwa na mabinti wengi sana. Kwa hiyo nimeona ni muhimu sana...
SHAMBA LA MTU MVIVU, ASIYE NA AKLI: MAHUSIANO YA NDOA (NA UCHUMBA)
MAHUSIANO: SHAMBA LA MTU MVIVU, ASIYE NA AKLI(Uvivu na Kukosa Akili Kichocheo Cha...