KUMTUMAINI MUNGU
Posted 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Cerca
Categorie
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leggi tutto
Verse by verse explanation of Psalm 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 19 questions at the...
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 9
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
MBINU ZINAZOTUMIKA NA WAISLAMU ILI KUHARIBU IMANI YA KIKRISTO KATIKA KARNE YA 20-21 (21st CENTURY ISLAMIC STRATERGIES TO ELIMINATE/CORRUPT CHRISTIANITY IN AFRICA)
Utangulizi:
Leo hii, ukitembea sehemu mbalimbali hapa duniani utakutana na waislamu wengi sana....
DANELI 6
Jina KUU la Bwana wetu YESU KRISTO libarikiwe.
Ndugu mpenzi karibu tujifunze Neno la Mungu na...
MUNGU AKIKUTUMA KAZI UJUE ATAKUPA NA MAELEKEZO SAHIHI.
Ukweli ni kwamba Mungu anafanyakazi pamoja nasi hata sasa ( 2 Wakorintho 5:21). Amekuchagua ili...