"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?

1
9كيلو بايت

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia

Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!

Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!

*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu

  1. Dunia ni duara(Isaya 40:22)
  2. Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
  3. Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
  4. Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
  5. Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
  6. Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
tenor.gif


7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)

Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi.                                    👇

IMG_20190613_120528_393.jpg


Hivyo Dunia ni tambarale  na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.

البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
OTHERS
Do you think Kadhi’s courts should be part of the new Tanzanian Constitution?
The current debate is about whether or not these “Kadhi” courts should be entrenched...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 20:32:21 0 6كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
USIKUBALI KUWA MPUMBAVU KWA KUKATAA KUWA HAKUNA MUNGU
Kuna imani nyingi sana hapa duniani, zingine zinadai kuwa "Hakuna Mungu" eti, kwasababu...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 03:16:07 0 5كيلو بايت
REVELATION
MAJIRA YA KANISA LA FILADELFIA
(1) MLENGWA WA KANISAUFUNUO 3:7“Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-09-24 10:41:39 0 6كيلو بايت
EZRA
Verse by verse explanation of Ezra 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-04-02 06:07:58 0 6كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
WALAKA KWA FILEMONI.
Bwana Yesu asifiwe… Kwa ufupi, Mtume Paulo alipokuwa kifungoni,aliandika walaka huu kwa...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2022-03-30 04:48:36 0 5كيلو بايت