"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?
نشر بتاريخ 2022-07-19 00:55:51
1
8كيلو بايت

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia
Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!
Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!
*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu
- Dunia ni duara(Isaya 40:22)
- Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
- Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
- Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
- Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
- Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)
Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi. 👇
Hivyo Dunia ni tambarale na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.
البحث
الأقسام
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
إقرأ المزيد
USIDANGANYIKE, MATUMIZI YA VIDEO ZA NGONO KWA WANANDOA NI DHAMBI
Shalom wapendwa,
Leo katika kona yetu hii ya Mahusiano, uchumba na Ndoa napenda tuangalie juu ya...
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
UFUNUO 11
Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Ufunuo, biblia inasema “Heri asomaye na wao...
WAISLAM WANASEMA KUWA WACHUNGAJI NI MBWA
1. Je Allah wa Quran ni Mchungaji?2. Je, Nabii Muhammad ni Mchungaji?
Naanza na mbwembwe...
Verse by verse explanation of Exodus 13
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 39 questions at the...