"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?

1
8KB

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia

Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!

Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!

*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu

  1. Dunia ni duara(Isaya 40:22)
  2. Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
  3. Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
  4. Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
  5. Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
  6. Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
tenor.gif


7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)

Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi.                                    👇

IMG_20190613_120528_393.jpg


Hivyo Dunia ni tambarale  na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.

Rechercher
Catégories
Lire la suite
Injili Ya Yesu Kristo
HAKIKISHA UNAISHI MAISHA ULIYOKUSUDIWA UKIJUA KUSUDI LA UWEPO WAKO LIMEFUNGWA KWENYE MUDA
Mtu hakuumbwa (hakuzaliwa) kwa bahati mbaya bali kwa kusudi maalum la Mungu. Mungu...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-23 13:05:23 0 5KB
HOLY BIBLE
Psychics are Satanic!  
"There shall not be found among you any one that maketh his son or his daughter to pass through...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:37:49 0 5KB
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 37 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-21 06:28:39 0 5KB
Religion
SEMINA YA NENO LA MUNGU VITU VITAKAVYOKUWEZESHA UITUMIE IPASAVYO MAMLAKA ULIYOPEWA NA MUNGU.
Location:Arusha.Date: 25th Jan 2016 Mwalimu:MWL MWAKASEGELocation:ARUSHA MJINI UWANJA WA...
Par GOSPEL PREACHER 2021-09-04 07:54:05 0 6KB
OTHERS
NIFANYE NINI ILI KUSHINDA TAMAA ZA MWILI?
JE, NINAWEZA KUISHINDA DHAMBI? Sasa je, tunaweza kweli kuishi humu duniani bila dhambi?  ...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:18:48 0 5KB