"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?
Posted 2022-07-19 00:55:51
1
9K
Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia
Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!
Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!
*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu
- Dunia ni duara(Isaya 40:22)
- Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
- Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
- Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
- Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
- Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)
Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi. 👇
Hivyo Dunia ni tambarale na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.
Site içinde arama yapın
Kategoriler
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Read More
ATTRIBUTES OF GOD
Discover God’s Attributes
Many Reformed theologians distinguish between...
ESTA SURA YA 1 & 2
MFALME wa WAFALME YESU KRISTO Bwana wetu, atukuzwe daima
Karibu kwa neema za Mungu...
Je, Muhammad Ametabiriwa Kwenye Biblia?
SEHEMU YA KWANZA
Waislamu wanashikilia kwamba Muhammad alitabiriwa kwenye Biblia. Andiko lao kuu...
Can Satan read our minds?
The short answer is no, Satan cannot read our minds. While we learn in Scripture that Satan is...
Where Do We Go When We Die?
Because he is the only one who died and came back to life on the third day, Jesus knows more...

