"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?

1
9K

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia

Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!

Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!

*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu

  1. Dunia ni duara(Isaya 40:22)
  2. Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
  3. Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
  4. Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
  5. Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
  6. Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
tenor.gif


7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)

Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi.                                    👇

IMG_20190613_120528_393.jpg


Hivyo Dunia ni tambarale  na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.

Tafuta
Vitengo
Soma Zaidi
2 KINGS
Book of 2 Kings Explained
Book of 2 Kings Title: See introduction from 1 Kings. The books of Kings were originally one...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-03-19 19:06:52 0 7K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 53 questions at the...
Kwa THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:41:10 0 5K
OTHERS
Kwa Nini Niliacha Uislamu na Kumpokea Yesu?
Mutee'a Al-Fadi alikuwa ni Mwislamu mwenye msimamo mkali wa Wahabbi ambao alisomea kule Saudi...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:30:32 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
YESU ALIMAANISHA NINI ALIPO SEMA MSIDHANI NALIKUJA KUTANGUA TORATI?
Baadhi ya watu wameshindwa kuelewa kuwa torati imeondolewa kwa sababu ya maneno ya Yesu aliposema...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 20:56:37 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
Je umeshapata Zawadi ya Uzima wa milele?
Bibilia inaonyesha njia ya wazi ya uzimani.Mwanzo ni sharti tutambue yakwamba tumetenda dhambi...
Kwa MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:42:08 0 6K