"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?

1
9K

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia

Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!

Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!

*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu

  1. Dunia ni duara(Isaya 40:22)
  2. Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
  3. Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
  4. Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
  5. Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
  6. Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
tenor.gif


7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)

Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi.                                    👇

IMG_20190613_120528_393.jpg


Hivyo Dunia ni tambarale  na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.

Search
Categories
Read More
Injili Ya Yesu Kristo
Ngazi ya Yakobo
Mwanzo 28:10-19 “Yakobo akatoka Beer-sheba, kwenda Harani. Akafika mahali fulani...
By GOSPEL PREACHER 2022-03-31 14:40:12 0 6K
OTHERS
Bible Verses about Honoring Parents
The New Testament binds a great responsibility on children when it says in Ephesians 6, verses...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:58:36 0 7K
OTHERS
NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE ULIYE MUNGU WA PEKEE, WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYE MTUMA
Ndugu wasomaji, Leo nitaielezea aya ya Yohana 17: 3 ambayo Waislam wamekuwa wakiitumia mara...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:24:49 0 5K
OTHERS
KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE
Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao. Waislamu bila...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 08:44:35 0 5K
MASWALI & MAJIBU
Je! Mtu Aliyeokoka Anaruhusiwa Kumiliki Lodge Ambayo Ina Bar Ndani Yake?
Swali linaendelea….na kutoa fungu la kumi kwa kupitia hiyo?,kwa mfano mimi nina rafiki...
By GOSPEL PREACHER 2022-06-13 09:17:15 0 7K