KUMTUMAINI MUNGU
Posted 2021-08-31 06:48:51
0
6K
HEKIMA NI KUMTUMAINI MUNGU TU:
Huu ndio ukweli hata Kama wapo watakaopinga, lakini ukweli utasisima daima, na ukweli huu ni kwamba: tunapaswa kumtumaini Mungu tu, na kamwe tusizitegemee akili zetu wenyewe. Na katika njia zetu zote tumtegemee yeye tu, naye atatufanikisha katika kila Jambo jema tunalolifanya.
Mithali 3:5-6
Cerca
Categorie
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leggi tutto
Msikilizeni Israel, Baba yenu!
Mstari wa Msingi:- Mwanzo 49:1-2 “Yakobo akawaita wanawe, akasema, Kusanyikeni, ili...
KWARESMA IPO KIBIBLIA
KWARESMA IPO KIMAANDIKO?
Kwaresma ni nini?..Je! Kwaresma ipo katika...
Verse by verse explanation of Judges 9
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 61 questions at the...
ZIJARIBU HIZO ROHO! JE NI ROHO ZA MUNGU WA KWELI AU ZA mungu WA UONGO?
BWANA YESU ASIFIWE, YESU wa Nazareti aliye hai.
1 Yohana 4: 1-3
“ 1 Wapenzi,...
FORM 1
List of all subjects for the form 1 class
AGRICULTURE
BASIC MATHEMETICS
BIOLOGY
BOOK-KEEPING...