MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20

0
5KB
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
 
  1. Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
  2. Sawda/Sauda binti Zam’a
  3. Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
  4. Omm/’Umm Salama/Salamah
  5. Hafsa/Hafsah
  6. Zaynab/Zainab wa Jahsh
  7. Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
  8. Omm Habiba
  9. Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
  10. Maymuna/Maimuna wa Hareth
  11. Fatima/Fatema/Fatimah
  12. Hend/Hind
  13. Asma wa Saba
  14. Zaynab wa Khozayma
  15. Habla?
  16. Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
  17.  Mariam Mkristo/Mkhufti
  18. Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
  19. 19. Omm Sharik
  20. Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
  21. Zaynab/Zainab wa tatu?
  22. Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
 
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
 
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
 
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
 
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
 
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Pesquisar
Categorias
Leia mais
NDOA KIBIBLIA
NDOA YA MKE MMOJA NA MUME MMOJA NI AGIZO NA NI SHERIA YA MUNGU
UTANGULIZI:Kumekuwepo na mkanganyiko mkubwa katika swala la ndoa kati ya ndoa ya mke...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-08 00:04:02 0 8KB
Injili Ya Yesu Kristo
YESU KRISTO NI MUNGU: THIBITISHO SABA
UFUNUO WA YOHANA 1:1-7 Kitabu hiki kinaelezea jinsi itakavyokua baadaye kwa watendao maovu...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:25:58 0 5KB
OTHERS
VIOJA VYA MUHAMMAD: ETI MAITI YA KIISLAMU INA UFAHAMU. NA INAJUA NANI ANAIBEBA
Kasema Mtume (S.a.w)“Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-25 11:40:54 0 5KB
MASWALI & MAJIBU
Je! Mtu Aliyeokoka Anaruhusiwa Kumiliki Lodge Ambayo Ina Bar Ndani Yake?
Swali linaendelea….na kutoa fungu la kumi kwa kupitia hiyo?,kwa mfano mimi nina rafiki...
Por GOSPEL PREACHER 2022-06-13 09:17:15 0 6KB
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 26
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 35 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-22 18:15:15 0 5KB