MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20

0
5K
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
 
  1. Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
  2. Sawda/Sauda binti Zam’a
  3. Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
  4. Omm/’Umm Salama/Salamah
  5. Hafsa/Hafsah
  6. Zaynab/Zainab wa Jahsh
  7. Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
  8. Omm Habiba
  9. Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
  10. Maymuna/Maimuna wa Hareth
  11. Fatima/Fatema/Fatimah
  12. Hend/Hind
  13. Asma wa Saba
  14. Zaynab wa Khozayma
  15. Habla?
  16. Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
  17.  Mariam Mkristo/Mkhufti
  18. Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
  19. 19. Omm Sharik
  20. Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
  21. Zaynab/Zainab wa tatu?
  22. Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
 
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
 
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
 
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
 
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
 
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Buscar
Categorías
Read More
OTHERS
LEO TUTAMTAZAMA BWANA YESU NA MUHAMAD NI NANI MWENYE MATUMAINI YENYE UHAKIKA KATI YAO
Tutapitia kauli zao walizozisema wakiwa Duniani, na kila mmoja atahukumu ni yupi mbora wa kufwata...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 20:09:59 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
MATOKEO YA DHAMBI YA UZINZI/UASHERATI KWA MTU ALIYEOKOKA.
Nakusalimu katika jina la Bwana mwezi huu wa tisa. Katika mwezi huu nimesukumwa ndani yangu...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:49:03 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
MILANGO YA FAHAMU YA KIROHO
MILANGO YA FAHAMU KATIKA HALI YA MWILI   Milango ya fahamu ni ogani za mwili zinazoturuhusu...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:28:54 0 6K
STANDARD 3
STANDARD 3
List of all subjects for the standard 3 class
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:19:35 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
MAMBO YA KUMSAIDIA KIJANA ALIYEOKOKA AISHI MAISHA YENYE USHUHUDA MZURI
Mtume Paulo katika waraka wake kwa Timotheo anamwambia hivi, ‘Mtu awaye...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:24:21 0 5K