MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20
نشر بتاريخ 2021-12-24 22:48:32
0
5كيلو بايت
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
- Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
- Sawda/Sauda binti Zam’a
- Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
- Omm/’Umm Salama/Salamah
- Hafsa/Hafsah
- Zaynab/Zainab wa Jahsh
- Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
- Omm Habiba
- Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
- Maymuna/Maimuna wa Hareth
- Fatima/Fatema/Fatimah
- Hend/Hind
- Asma wa Saba
- Zaynab wa Khozayma
- Habla?
- Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
- Mariam Mkristo/Mkhufti
- Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
- 19. Omm Sharik
- Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
- Zaynab/Zainab wa tatu?
- Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
البحث
الأقسام
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
إقرأ المزيد
JIHADHARI USIMKATAE MUNGU KATIKA FAHAMU ZAKO
Shalom, leo nipe muda nikuonyeshe jambo muhimu sana katika safari yetu ya wokovu hapa dunia...
UFUNUO WA MAISHA YA WOKOVU KWA DHANA YA NJIA NYEMBAMBA NA NJIA PANA
Shalom, neema ya Kristo na iwe kwako, ndugu, maadam unaishi uwe na uhakika utakufa na hapo ndipo...
BIBLIA INAWEZA KUAMINIWA NA KUTEGEMEWA
Kimsingi mwanadamu anaweza kumfikiria Mungu kwa njia kuu mbili: Njia ya kwanza ni ile ya...
PRE-UNIT 2
List of all of subjects for pre-unit 2 students
Verse by verse explanation of 2 Kings 19
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...