MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20

0
5K
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
 
  1. Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
  2. Sawda/Sauda binti Zam’a
  3. Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
  4. Omm/’Umm Salama/Salamah
  5. Hafsa/Hafsah
  6. Zaynab/Zainab wa Jahsh
  7. Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
  8. Omm Habiba
  9. Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
  10. Maymuna/Maimuna wa Hareth
  11. Fatima/Fatema/Fatimah
  12. Hend/Hind
  13. Asma wa Saba
  14. Zaynab wa Khozayma
  15. Habla?
  16. Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
  17.  Mariam Mkristo/Mkhufti
  18. Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
  19. 19. Omm Sharik
  20. Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
  21. Zaynab/Zainab wa tatu?
  22. Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
 
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
 
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
 
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
 
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
 
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
Injili Ya Yesu Kristo
HAYA NDIYO MADHARA YA KUABUDU PICHA ZA WATU WALIOIGIZA SINEMA ZA YESU!
BWANA YESU ASIFIWE watu wote wa mataifa yote, YESU anawapenda na pia MUNGU anawapenda na ROHO...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-19 05:44:36 0 6K
SPIRITUAL EDUCATION
UHUSIANO WA JINA NA HATMA YA MTU 1SAMWEL 25:25, MWANZO 32:24-28
UHUSIANO WA JINA NA HATMA YA MTU. 1SAMWEL 25:25, MWANZO 32:24-28. Moja kati ya teso kubwa la...
By Martin Laizer 2025-11-05 04:53:38 0 403
SPIRITUAL EDUCATION
Who is Jesus Christ and what is His mission to the world?
Is certainly a logical question to ask. He changed the world in only 30 years on earth, and no...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:14:40 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
NAMNA IMANI INAVYOWEZA KUFANYIKA MSAADA KATIKA MAISHA YAKO.
 Siku zote neno la Mungu linasema katika 2Petro 5:7 kwamba siku zote Mungu anajishughulisha...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:44:24 0 5K
OTHERS
Juhudi za Kupinga Ukristo za Mwanaharakati wa Kundi la Ahmadiah Kutoka Pakistani Zamfanya Aachane na Uislamu
Nusrat Aman alikuwa ni mwanaharakati wa kiislamu wa kundi la Ahmadiah kule Pakistani. Siku moja...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:31:32 0 5K