MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20

0
5K
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
 
  1. Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
  2. Sawda/Sauda binti Zam’a
  3. Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
  4. Omm/’Umm Salama/Salamah
  5. Hafsa/Hafsah
  6. Zaynab/Zainab wa Jahsh
  7. Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
  8. Omm Habiba
  9. Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
  10. Maymuna/Maimuna wa Hareth
  11. Fatima/Fatema/Fatimah
  12. Hend/Hind
  13. Asma wa Saba
  14. Zaynab wa Khozayma
  15. Habla?
  16. Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
  17.  Mariam Mkristo/Mkhufti
  18. Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
  19. 19. Omm Sharik
  20. Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
  21. Zaynab/Zainab wa tatu?
  22. Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
 
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
 
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
 
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
 
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
 
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
Injili Ya Yesu Kristo
MFANO WA MPANZI NA MBEGU
  LUKA 5;8-5 "Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake; naye alipokuwa akizipanda, nyingine...
By GOSPEL PREACHER 2022-01-15 22:24:38 0 5K
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 19
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 22 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:16:50 0 5K
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 58 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-22 11:23:54 0 5K
JOB
Verse by verse explanation of Job 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 13:31:42 0 5K
MASWALI & MAJIBU
Hamjui Ya Kuwa Mtawahukumu Malaika? Ina Maana Gani?
Biblia inaposema hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika? ” Swali ni Je! sisi tutawahukumu vipi...
By GOSPEL PREACHER 2022-06-13 08:51:05 0 6K