MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20
Postado 2021-12-24 22:48:32
0
5K
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
- Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
- Sawda/Sauda binti Zam’a
- Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
- Omm/’Umm Salama/Salamah
- Hafsa/Hafsah
- Zaynab/Zainab wa Jahsh
- Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
- Omm Habiba
- Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
- Maymuna/Maimuna wa Hareth
- Fatima/Fatema/Fatimah
- Hend/Hind
- Asma wa Saba
- Zaynab wa Khozayma
- Habla?
- Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
- Mariam Mkristo/Mkhufti
- Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
- 19. Omm Sharik
- Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
- Zaynab/Zainab wa tatu?
- Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia Mais
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
Mafundisho kuhusu Uadilifu!
Andiko la Msingi: Tito 2:11-12 “Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;...
Verse by verse explanation of Exodus 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Kusulubiwa Na Kufa na Kufufuka Kwa Yesu Kristo!
Leo nataka tutafakari kwa Pamoja mojawapo ya somo muhimu sana katika maisha ya Ukristo kwa kuwa...
Je, Yesu alisema kuwa Yeye ni Mungu?
“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia...