UTATA KATIKA KORAN: ADAM ALIUMBWAJE?

0
5KB
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Jamani huu nao ni Msiba Mkubwa katika taifa la Allah. Hivi, Allah alikuwa msanii au alikuwa nani/ Maana anapenda sana kuchanganya madawa. Leo ALLAH AMELETA UTATA Katika uumbaji wa Binadamu. Sasa tuanze kwa kusoma kitabu chake kilicho shushwa na Jibril msaidi wake.

Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***

Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.

Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na Mola wako Mlezi ni Muweza. ***

Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***

Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo. Jamani huu si Msiba? 

Endelea kupata Elimu.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***

Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UATAT kila sehemu?

Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 39 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:32:28 0 5KB
MAHUSIANO KIBIBLIA
NAMNA YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA UJANA
Shalom, neno changamoto linaweza kuwa na maana kadhaa, katika somo hili nimefafanua changamoto...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:23:18 0 7KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 27
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:44:41 0 5KB
MASWALI & MAJIBU
Kati Ya Unyakuo, Dhiki Kuu, Utawala Wa Miaka 1000 Kipi Kinaanza?
SWALI:Naomba kuuliza kati ya Unyakuo wa watakatifu, Dhiki kuu, Vita vya har-magedoni, Utawala wa...
Par GOSPEL PREACHER 2022-06-13 09:09:30 0 7KB
Injili Ya Yesu Kristo
HAKIMU ALIYE TOFAUTI NA MAHAKIMU WOTE
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:34:25 0 5KB