UTATA KATIKA KORAN: ADAM ALIUMBWAJE?

0
5K
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Jamani huu nao ni Msiba Mkubwa katika taifa la Allah. Hivi, Allah alikuwa msanii au alikuwa nani/ Maana anapenda sana kuchanganya madawa. Leo ALLAH AMELETA UTATA Katika uumbaji wa Binadamu. Sasa tuanze kwa kusoma kitabu chake kilicho shushwa na Jibril msaidi wake.

Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***

Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.

Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na Mola wako Mlezi ni Muweza. ***

Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***

Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo. Jamani huu si Msiba? 

Endelea kupata Elimu.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***

Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UATAT kila sehemu?

Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 55 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 10:51:40 0 5K
OTHERS
Kwanini Mkristo anauhakika wa kwenda Paradiso zaidi ya Muislamu?
1. Je, Kurani inatoa uhakika kwa Waislamu? Kurani inatengeneza tu mazingira ya mashaka kuhusiana...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:26:41 0 5K
Networking
Three reasons why marketplaces fail (and how not to)
This article discusses the three most common pitfalls for peer-to-peer marketplaces and outlines...
By Business Academy 2022-09-17 02:24:59 0 6K
REVELATION
UFUNUO 11
Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Ufunuo, biblia inasema “Heri asomaye na wao...
By GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:26:46 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
UBATIZO NI NINI NA ULIO SAHIHI NI UPI?
Kabla ya kufahamu ubatizo ni nini…Hebu jiulize mtu katokea na akakuuliza “kuzamisha...
By GOSPEL PREACHER 2022-03-29 23:48:26 0 5K