UTATA KATIKA KORAN: ADAM ALIUMBWAJE?

0
5K
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Jamani huu nao ni Msiba Mkubwa katika taifa la Allah. Hivi, Allah alikuwa msanii au alikuwa nani/ Maana anapenda sana kuchanganya madawa. Leo ALLAH AMELETA UTATA Katika uumbaji wa Binadamu. Sasa tuanze kwa kusoma kitabu chake kilicho shushwa na Jibril msaidi wake.

Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***

Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.

Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na Mola wako Mlezi ni Muweza. ***

Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***

Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo. Jamani huu si Msiba? 

Endelea kupata Elimu.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***

Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UATAT kila sehemu?

Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Search
Categories
Read More
Injili Ya Yesu Kristo
YESU NI MWANA WA MUNGU
Je, ina maana gani Yesu kuwa Mwana wa Mungu    Ndugu Msomaji, Yesu si Mwana wa Mungu...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:24:13 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
Je ni nini kitawapata watu wale hawajawai pata nafasi ya kusikia kuhusu Yesu?
Je ni nini kitawapata watu wale hawajawai pata nafasi ya kusikia kuhusu Yesu? Je Mungu...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 04:11:03 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
The Son, Jesus Christ, is God
The Deity of Jesus Christ from the Scriptures Characteristic God Jesus Christ Who is omnipotent...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:30:54 0 5K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 61 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:43:35 0 5K
NDOA KIBIBLIA
NDOA YA MKE MMOJA NA MUME MMOJA NI AGIZO NA NI SHERIA YA MUNGU
UTANGULIZI:Kumekuwepo na mkanganyiko mkubwa katika swala la ndoa kati ya ndoa ya mke...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-08 00:04:02 0 8K