UTATA KATIKA KORAN: ADAM ALIUMBWAJE?

0
5KB
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Jamani huu nao ni Msiba Mkubwa katika taifa la Allah. Hivi, Allah alikuwa msanii au alikuwa nani/ Maana anapenda sana kuchanganya madawa. Leo ALLAH AMELETA UTATA Katika uumbaji wa Binadamu. Sasa tuanze kwa kusoma kitabu chake kilicho shushwa na Jibril msaidi wake.

Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***

Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.

Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na Mola wako Mlezi ni Muweza. ***

Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***

Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo. Jamani huu si Msiba? 

Endelea kupata Elimu.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***

Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UATAT kila sehemu?

Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Suche
Kategorien
Mehr lesen
MAHUSIANO KIBIBLIA
HATARI ZA KUWA NA MAHUSIANO YASIYO SAHIHI
UTANGULIZIMahusiano yasiyo sahihi ni mahusiano ya namna gani? Haya ni mahusiano kwanza kabisa...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:45:47 0 8KB
UCHUMBA KIBIBLIA
MAMBO YA KUFANYA/KUZINGATIA KATIKA KIPINDI CHA UCHUMBA
Mpenzi msomaji tunakusalimu kwa jina la Yesu! Baada ya kuwa tumepata maombi ya vijana wengi...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:06:12 0 6KB
2 KINGS
Verse by verse explanation of 2 Kings 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-03-19 20:30:46 0 6KB
REVELATION
UFUNUO 9
Shalom.Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Ufunuo, ni vizuri ukakisoma kitabu hichi peke yako...
Von GOSPEL PREACHER 2021-10-30 10:39:01 0 5KB
OTHERS
Unajimu na Kutafsiri Nyota
Je? Mungu anasema nini kuhusu wao wanao tafsiri nyota kuweza kujua jinsi maisha yao...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:22:20 0 5KB