UTATA KATIKA KORAN: ADAM ALIUMBWAJE?

0
5K
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Jamani huu nao ni Msiba Mkubwa katika taifa la Allah. Hivi, Allah alikuwa msanii au alikuwa nani/ Maana anapenda sana kuchanganya madawa. Leo ALLAH AMELETA UTATA Katika uumbaji wa Binadamu. Sasa tuanze kwa kusoma kitabu chake kilicho shushwa na Jibril msaidi wake.

Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***

Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.

Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na Mola wako Mlezi ni Muweza. ***

Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***

Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo. Jamani huu si Msiba? 

Endelea kupata Elimu.

Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***

Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UATAT kila sehemu?

Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?

Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
CHRISTIAN EDUCATION
WEWE NI HEKALU LA MUNGU
WEWE NI HEKALU LA MUNGU 
Por Martin Laizer 2023-12-23 16:13:51 0 8K
JOB
Verse by verse explanation of Job 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 13 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 03:56:56 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO.
MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO 
Por Martin Laizer 2023-10-07 09:24:32 1 17K
OTHERS
KUWA MUISLAM NI KUJIFUNZA UCHAWI. SHEHE OMARI MNYISHANI
SOMO:AINA ZA UCHAWI KATIKA UISILAMU i. Habize/Hepatoscopy (huu ni uchawi wa kutumia maini)...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:22:38 0 6K
JOB
Verse by verse explanation of Job 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 16 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 03:33:35 0 5K