UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
4K
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 3
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-01 21:58:36 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
WHY MASTURBATION IS A SIN…..Please read this!
To start with, masturbation is self service by which one derives pleasure; it’s a sexual...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:30:57 0 5K
OTHERS
Kwa nini imani ya Kikristo ni bora zaidi ya Kiislamu?
1. Utangulizi Kuamini juu ya Mungu Mmoja, ni imani katika Uwepo wa Utendaji wa Mungu mmoja [1]....
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:28:18 0 4K
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 55 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-03-20 04:38:50 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
ASILI MBILI ZA YESU KRISTO
Tokea Dunia ianze, hapajawai toke Mtu yeyote alieishi kama Yesu Kristo. Yesu ni mtu wa maana sana...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:22:50 0 8K