UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
5كيلو بايت
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
Injili Ya Yesu Kristo
UFUNUO WA MAISHA YA WOKOVU KWA DHANA YA NJIA NYEMBAMBA NA NJIA PANA
Shalom, neema ya Kristo na iwe kwako, ndugu, maadam unaishi uwe na uhakika utakufa na hapo ndipo...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-11-23 13:04:01 0 5كيلو بايت
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:03:43 0 6كيلو بايت
ESTHER
ESTA SURA YA 5, 6 & 7
Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO litukuzwe. Huu ni mwendelezo wa kitabu cha Esta. Katika...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2022-01-20 02:51:54 0 6كيلو بايت
MAHUSIANO KIBIBLIA
BIBLIA NA MATULIZO YA MAPENZI
Kumekuwepo na kesi nyingi za wanandoa; kuvunjika kwa ndoa ni jambo la kawaida sana, watu...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-11-06 14:56:38 0 6كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?
Ndugu msomaji, Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa:   MFANO WA KWANZAYesu alipomponya mtu...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:34:44 0 6كيلو بايت