UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
4كيلو بايت
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
REVELATION
UFUNUO 15
Karibu tujifunze mwendelezo wa kitabu cha ufunuo, leo tukiendelea na sura ya 15; Ufunuo...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:50:48 0 6كيلو بايت
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
My painful financial journey...and how God changed it.
Despite being in the financial world since I was in college, despite being "good with numbers",...
بواسطة BIBLICAL FINANCES 2021-12-29 15:26:00 0 7كيلو بايت
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 19 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:41:10 0 5كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
UTHIBITISHO 10 KUWA YESU NI MUNGU
“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 03:09:17 0 6كيلو بايت
SPIRITUAL EDUCATION
If there is a God, why is there evil?
Agnostics ask: If God is all-powerful and all loving, then why does He permit evil and suffering...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:16:47 0 5كيلو بايت