UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
5K
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Zoeken
Categorieën
Read More
SPIRITUAL EDUCATION
*Nini maana ya usijiongezee hekima mno? (Mhubiri 7:16b)* Swali: Kwanini biblia ikataze kujiongezea hekima
  *Nini maana ya usijiongezee hekima mno? (Mhubiri 7:16b)* Swali: Kwanini biblia ikataze...
By Martin Laizer 2024-04-24 16:56:29 2 3K
NDOA KIBIBLIA
MWANAMUME HAPASWI KUWA MBINAFSI, MCHOYO
Bwana Yesu asifiwe, Amani iwe nawe.Leo napenda tuanze kuangalia mfululizo wa somo hili la,...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-06 13:35:45 0 5K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 39 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:32:28 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
Je umeshapata Zawadi ya Uzima wa milele?
Bibilia inaonyesha njia ya wazi ya uzimani.Mwanzo ni sharti tutambue yakwamba tumetenda dhambi...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:42:08 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
Jinsi ya kuzidi kuwa Hodari.
Utangulizi: Tunasoma Katika maandiko ya kwamba watu wengi wanaotajwa kama mashujaa wa Imani...
By GOSPEL PREACHER 2022-03-31 14:49:05 0 7K