UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
4K
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
GFG
FDF
Por GOSPEL PREACHER 2021-12-31 12:37:18 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
FAHAMU KUHUSU JINA LA FARAO
Kwa ufupi… Bwana Yesu asifiwe… Je unafahamu nini kuhusu jina hili la farao? Basi...
Por GOSPEL PREACHER 2022-03-30 05:04:49 0 5K
LEVITICUS
Verse by verse explanation of Leviticus 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 91 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-24 09:11:08 0 5K
NDOA KIBIBLIA
SHAMBA LA MTU MVIVU, ASIYE NA AKLI: MAHUSIANO YA NDOA (NA UCHUMBA)
MAHUSIANO: SHAMBA LA MTU MVIVU, ASIYE NA AKLI(Uvivu na Kukosa Akili Kichocheo Cha...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:23:24 0 4K
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 19
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 40 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-02-05 10:01:28 0 5K